BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MFUMU HUU NDIYO UNAOSTAILI KUTUMIWA NA WANANDOA ILI KUFAIDI MATUNDA YA NDOA, HUMFANYA MWANAKE KUFIKA KILELENI KWA HARAKA.

Δεν είναι όλοι οι οργασμοί ίδιοι: Οι γυναίκες βιώνουν δύο τύπους
Tendo la ndoa huhitaji utulivu ili kuweza kufaidi matunda ya ndoa na yoyote ya yoyote pale wanandoa wanapofika mlima Kilimanjoro kwa wakati muafaka lakini kuna namna nyingi za kufika mlima huo mrefu barani afrika.


Hapa kuna njia rahisi ya kufika mlima huo ufuatilia mbinu mbadala ya kufika kileleni na mwenza wako bila usumbufu.

Jinsi Ya Kujipanga:
Mwanamke alale chali (uso, matiti na kila kitu viangalie juu),kisha Mwanaume apige magoti mbele yake,baada ya hapo,mwanamke aweke miguu yake kwenye mabega ya mwanaume,unaweza kuweka mto(pillow) chini ya makalio ya mwanamke awe more comfortable and relaxed.  


Faida za Hii Style:
Mwanamke akiweka miguu juu ya mabega ya mwanaume wakati wa kupeana Raha na Utamu,kuna faida mbili mtaenjoy,ya Kwanza, mashine ya mwanamme na uke wa mwanamke zote zinakuwa katika level sawa,hii inasaidia mashine ya mwanaume kuisugua vizuri G-spot,na Pili Uke wa mwanamke unajibana kidogo, ikijibana inaongezeka kuwa tight,na kufanya starehe ya tendo kuzidi.


Maujanja Zaidi:
Mwanaume inabidi ashikilie makalio ya mwanamke, akipump kuelekea juu ili aweze kuilenga vizuri G-spot sehemu yenye utamu usiokifani.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: