BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

TASWIRA YA MSANII RAY C AKIWA MTAANI KATIKA HARAKATI ZA KUWASHAWISHI VIJANA KUACHA KUBWIA UNGA JIJINI DAR ES SALAAM.

 
Leo Ray C Foundation tuliwatembelea waathirika wa madawa ya kulevya Kinondoni!!!nimeongea nao sana na kuwahamasisha waje kupata Tiba ya Methadone Mwananyamala.

Nimefurahisana kusikia kutoka Kwao kwamba na wao wamechoka na Maisha ya utumwa.
 

 
Ray C Foundation Pamoja inawezekana.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: