BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

VIPIMO VYA MCHEZAJI WA QPR, LOIC REMY ALIVYOFANYIWA NA LIVERPOOL VYAGONGA MWAMBA.


Uhamisho wa pauni milioni 8.5 wa Loic Remy, 27, kutoka QPR kwenda Liverpool umeshindwa kukamilika.


Liverpool hawataki kusema kwanini uhamisho huo umeshindikana, lakini inasemekana huenda mchezaji huyo ameshindwa kupita vipimo vya afya. 


Remy alisafiri hadi Marekani siku ya Jumatatu ambapo Liverpool wanafanya ziara. 


Liverpool walipanga kumpa jezi namba 7 kama mkataba ungekamilika. 


Remy sasa huenda akalazimika kurejea QPR.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: