Balozi wa Kenya nchini Tanzania, George Owur akipata maelezo kutoka kwa Afisa wa benki ya NMB Albertina Kanshahu kushoto namna ya kufungua akaunti Chap Chap inayofunguliwa sehemu yoyote kwa wateja wa benki wakati alipotembelea banda la benki ya NMB Maonyesho ya wakulima kanda ya mashariki uwanja wa Nane Nane wa Mwalimu Julius Nyerere yanayofanyika mkoani Morogoro.
CHEZEA NJAA !!! Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali mkoa wa Morogoro, kutoka kushoto Rebeca Nyaulingo-Redio Okoa FM, Remmy Yasinta-TBC, Lilian Justice- Majira, Juma Mtanda, Mwananchi na Hussein Nuha ITV wakipata msosi wa mchana baada ya kuzunguka kwa muda mrefu katika kusaka habari maonyesho ya kimataifa ya wakulima kanda ya mashariki uwanja wa Mwl Julius Nyerere Nane Nane mkoani Morogoro.
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
Home / Uncategories / KINACHOENDELEA KATIKA MAONYESHO YA WAKULIMA KANDA YA MASHARIKI UWANJA WA MWL JULIUS NYERERE NANE NANE MOROGORO.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 comments:
Post a Comment