Mlinda
mlango wa klabu ya Mtibwa Sugar Said Mohamed akidaka mpira huku
mshambuliaji wa Yanga Genilson Jaja akiwa amedhibitiwa na mlinzi wa
klabu hiyo ya Mtibwa Salim Mbonde wakati wa ufunguzi
wa ligi kuu ya vodacom Tanzania bara msimu wa mwaka 2014/2015 katika
uwanja wa jamhuri mkoani Morogoro.Yanga ilikubali kipigo cha kufungwa
bao 2-0.PICHA/MTANDA BLOG
Mshaambuliaji wa Yanga Mrisho Ngassa akichuana na mlinzi wa Mtibwa Sugar Salim Mbinde wakati wa ufunguzi
wa ligi kuu ya vodacom Tanzania bara msimu wa mwaka 2014/2015 katika
uwanja wa jamhuri mkoani Morogoro.Yanga ilikubali kipigo cha kufungwa
bao 2-0.PICHA/MTANDA BLOG
Kamanda
wa polisi mkoa wa Morogoro Leonard Paulo (mwenye kaunda suti) akiwa
amekaa na maafisa wa jeshi hilo wakati wakiimarisha ulinzi katika mchezo
baina ya Mtibwa Sugar na Yanga katika mchezo wa ufunguzi
wa ligi kuu ya vodacom Tanzania bara msimu wa mwaka 2014/2015 katika
uwanja wa jamhuri mkoani Morogoro.Yanga ilikubali kipigo cha kufungwa
bao 2-0.PICHA/MTANDA BLOG

0 comments:
Post a Comment