Meneja wa Abood Media Morogoro, Abeid Dogoli akimvalisha pete mke wake, Fransisca Kalindo baada ya kufunga naye pingu za maisha bomani.
Maharusi wakiingia ukumbini
Bi harusi akijichanganya na wageni waalikwa.
Huyu mwenye kicheko ndiye Bw harusi Abeid naye akiwapa hi ndugu, jamaa na marafiki.


0 comments:
Post a Comment