BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ASKARI POLISI WAFUKUZWA KAZI KWA KOSA LA KUMTEKA BINTI WA MIAKA 14 NA KUM'BAKA.

 
Waziri mkuu wa jimbo kubwa zaidi nchini India la Uttar Pradesh amewafuta kazi polisi wawili wanaoshtumiwa kwa kumteka nyara na kum'baka msichana wa umri wa miaka 14 siku ya Jumatano.

Akhilesh Yadav aliamrisha hatua za kinidhamu kuchukuliwa dhidi ya polisi hao .

Mahakama ilisema kuwa polisi walimlazimisha msichana huyo kuingia ndani ya gari lao alipotoka nyumbani kwenda msalani .

Kisha walimpeleka kwenye kituo cha polisi ambapo walim'baka .
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: