Kutokana na kitendo hicho cha kijana huyo kutangaza nia ya kugombea urais kupitia CCM kumezua mijadala mbalimbali katika mitandao ya kijamii hata vyombo vya habari.
Mijadala hiyo inakuja kutokana na umri wake wa miaka 34 huku moja ya sifa ya mgombea urais ikimtaka mgombea kuwa na umri wa miaka 40.
vifungu vya katiba ya nchi inamtaka mgombea awe na umri wa miaka 40 lakini ndani ya katiba ya CCM ikifungua milango ya mgombea kugombea nyasfa mbalimbali bila kujali umri.

0 comments:
Post a Comment