BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

UKAWA WAFUNIKA UZINDUZI WA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25 JANGWANI DAR ES SALAAM

Wafuasi wa vyama vinavyiunda Ukawa wakiwa kwenye lori  la wazi wakati likiwapeleka kwenye mkutano wa ufunguzi wa kampeni ya umoja huo uliozinduliwa kwenye uwanja wa Jangwani jijini Dar es Salaam ambapo mgombea urais wa jamhuri wa muungano Edward Lowassa na makamu wake Dk Juma Duni Hali pamoja na wabunge, madiwani waliombewa kura za ndiyo katika uchanguzi mkuu oktoba 25 mwaka huu.Sehemu ya wafuasi na wanachama wanaounda ukawa katika viwanja cha Jangwani wakati wa uzinduzi wa kampeni leo jijini Dar es Salaam.
Magari ya abiria yalitumika kubeba watu kutoka sehemu mbalimbali za jiji la Dar es Salaam na mikoa ya jirani ili wanachama, wapenzi na wafuasi kuweza kushuhudia uzinduzi huo.
Hii ni daladala nyingine
 
Costar ikiwa na
 
Landcuser nalo likiwa na wafuwasi haoHawa ni wafuasi wengine
 
Wafuasi wa Chadema wakiwa katika daladala wakati wakielekea katika uzinduzi wa kampeni wa ukawa leo agosti 29/ 2015.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: