BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BINADAMU ANAPASWA KUNYWA MAJI JAPO LITA 2 KWA SIKU ILI KUEPUKA UGONJWA UVIMBE WA KIBOFU.

Je, unafahamu unywaji wa maji ni muhimu kwa afya yako? Asilimia sitini ya mwili wa binadamu ni maji na mtu hupoteza maji mwilini wakati unapokwenda haja ndogo au kutokwa na jasho.

Wataalamu wa afya wanashauri kuwa mtu anapaswa kunywa zaidi ya lita mbili ya maji kila siku kwa afya bora.

Lakini kwa wakazi maeneo ya Baringo na Marakwet nchini Kenya madaktari wamelalamikia kuongezeka kwa idadi ya watu wanoambukizwa ugonjwa wa uvimbe wa kibofu au cystitis kwa kimombo, unaosababishwa na ukosefu wa maji ya kutosha mwilini.

Mwandishi wetu Robert Kiptoo amezungumza na daktari Stephen Kurere.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: