BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

SOKWE AMSHIKA MTOTO WA BINADAMU NA KUMBURUZA CHINI KABLA YA ASKARI KUMPIGA RISASI NA KUFA PAPO HAPO.



Wafanyikazi wa hifadhi moja wa wanyama nchi Marekani wemempiga risasi na kumuua sokwe mmoja baada ya mtoto mmoja kuingia kwenye hifadhi hiyo.

Mkurugenzi wa hifadhi Cincinnati, alisema kuwa mtoto huyo mvulana wa umri wa miaka minne, alitambaa na kupita kuzuizi na kisha kuanguka kwenda mahala alikuwa sokwe huyo kwa jina Harambe, ambaye alimshika na kuanza kumburuta.

Aliitaja hatua ya kumuua sokwe huyo kama uamuzi mgumu lakini ulio muhimu. Mtoto huyo hakupata majeraha mabaya.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: