BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

TASNIA YA SANAA YA VICHEKESHO YAKUMBWA NA MSIBA MZITO TANZANIA, MSANII KINYAMBE AFARIKI DUNIA MBEYA.

 
Msanii wa vichekesho nchini, Mohamed Abdallah (Kinyambe) amefariki Dunia jijini Mbeya usiku wa kuamkia leo.

Taarifa za awali zinadai kuwa amefariki dunia katika hospitali wakati akipatiwa matibabu.

Tunaendelea kufuatia kwa kina taarifa za msiba huo.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: