BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

UMBUMBUMBU WA SHERIA MOJA YA CHANZO CHA AJALI USALAMA BARABARANI



Shinyanga. Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Albert Msovela amesema changamoto nyingi za usafiri wa njia ya barabara zinatokana na watu kutojua sheria, taratibu na kanuni za usalama barabarani.

Akizungumza kwenye kikao cha wadau wa usalama barabarani juzi, Msovela alisema makosa mengi ya usalama barabarani pia yanasababishwa na watendaji kushindwa kusimamia sheria. 


Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Shinyanga, Chacha Maro aliitaka Manispaa hiyo kuhakikisha inakuwa na mpango kazi mzuri kwa ajili ya waendesha baiskeli na wakokota mikokoteni ambao husababisha ajali nyingi barabarani.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: