BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WAKAZI WA DAR ES SALAAM WAVAMIWA NA NYOKA AINA YA CHATU

Dar es Salaam. Nyoka mkubwa aina ya chatu anayedaiwa kuishi karibu na Mto Mzinga, amekuwa tishio kwa wakazi wa Lubakaya Kata ya Zingiziwa, Manispaa ya Ilala.

Akizungumzia suala hilo jana, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi alisema inadaiwa chatu huyo alionekana mara moja na ofisi yake imetuma wataalamu kumsaka.

Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Lubakaya, Abdallah Kaniki alisema wamekubaliana na wananchi kulifanyia usafi shamba ambalo linadaiwa chatu huyo ameweka makazi yake na lingine la jirani ambayo yana ukubwa wa eka 20.MWANANCHI
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: