BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

CHUI AMSHAMBULIA MWANAMKE NA KUMUUA MBUGANI


Chui katika mbuga moja ya wanyama pori nchini China wamemmuua mwanamke mmoja na kumjeruhi mwinngine baada ya wawili hao kuondoka ndani ya gari lao.

Vyombo vya habari vilichapisha picha zikionyesha mmoja wa wanawake hao wakitoka kwenye gari na kusimama nje kabla ya kushambuliwa kwa haraka na Chui na kisha kuburutwa.

Mwanamke wa pili aliuawa wakati alitoka ndani ya gari akijaribu kumuokaa mwenzake wakati yeye mwenyewe alishambuliwa na Chui mwingine.

Wageni katika mbuga ya Badaling mjini Beijing, huruhusiwa kuendesha magari yao ndani ya mbuga lakini mara nyingi hushauriwa kutotoka nje ya magari yao.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: