BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

UNALIJUA HILI ?...KUMBE UGONJWA WA KISONONO UNAWEZA KUUPATA KWA NJIA YA NGONO YA MDOMO.

Dawa inayotumiwa kuosha mdomoDawa inayotumiwa kuosha mdomo

Kuosha mdomo kunasaidia kupunguza maambukizi ya kisonono,watafiti wanaamini.

Utafiti wa hivi majuzi umeonyesha kwamba binaadamu wanaweza kubeba magonjwa ya zinaa katika koo zao kwa muda wa wiki moja ama hata miezi bila ya kupata dalili zozote.

Na wanaweza kusambaza kwa wengine kupitia ngono isio salama ya mdomoni.

Wachunguzi wanajaribu kuona iwapo kuosha mdomo mara kwa mara kunaweza kusaidia kuzuia kuenea polepole na wataalam wanasema kuwa ni wazo ambalo linafaa kutumiwa.

Kisonono husababishwa na bakteria na kinaweza kuishi katika koo, katika uume na uke na husambazwa kupitia ngono ya mdomoni pamoja na ile ya katika uke.

Ugonjwa huo uliokuwa mwingi miaka ya 1950 umepungua baada ya dawa kugunduliwa.BBC
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: