
Mwanamuziki Papii Kocha (katikati) akitumbuiza pamoja na bendi ya Twanga Pepeta wakati wa Tamasha la Michezo la Siku ya Nyerere lililofanyika gereza la Ukonga Jijini Dar es Salaam Oktoba 14 mwaka huu.
Mwanamuziki huyu na baba yake wanatumikia kifungo cha maisha jela.

0 comments:
Post a Comment