BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

JE UNAFAHAMU KUWA INAWEZEKANA MTU KUFA MWAKA HUU NA KUZIKWA MWAKA JANA ?.

 
Ndege ya shirika la Marekani UA890 Boeing 787-900 ilitoka mashariki mwa dunia huko Shanghai wakati mwaka ushabadirika na kuelekea magharibi mwa dunia huko San Fransisco ambako siku bado haijabadilika, hivyo ikafanikiwa kuweka rekodi ya kuruka tarehe 1 Jan 2017 na kutua tarehe 31 Dec 2016.

Hivyo kama angekuwa mtu amefariki China na kusafirishwa na ndege hii UA890 Boeing 787-900 kwenda San Francisco huko America angekuwa amekufa mwaka huu na kuzikwa mwaka jana.


Nothing impossible under the Sun
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: