BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BIASHARA YA KUNI MJIPYA MORO.

Justin Mashoto kushoto akitayarisha kuni kwa kucharanga kwa ajili ya kuwauzia wateja wao katika ghala lao mtaa wa Kaloleni Mjimpya Manispaa ya Morogoro ambapo nishati hiyo imekuwa ikitumiwa na wananchi wengi wenye kipato cha wastani kutokana na kushindwa kumudu ghalama za nishati ya umeme kuzimudu kwa matumizi ya kupikia, fungu moja huuzwa kati ya sh 500 na sh 1,000.




Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: