BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

DALADALA !


Daladala lenye namba ya usajili T 946 AWG likiwa limekongwa kwa nyuma na basi la Mohamedi Trans ambalo lilikuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea mkoani Musoma katika eneo la Mkomola mkoani Morogoro baada ya kutokea ajali hiyo, hata hivyo chanzo cha ajali hiyo hakikuweza kufahamika mara moja.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: