BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

VICHANGA VILIVYOZALIWA MKESHA WA KRISMASI MORO.



Wazazi wakiwa wamepakata vichanga vyao mara baada ya kujifungua salama katika mkesha wa sikukuu ya krismasi wadi ya wazazi katika kituo cha afya Manispaa Morogoro, jumla ya watoto sita walizaliwa wanne wakiwa wa kiume na wawili wa kike.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: