BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

DAWA INAYODAIWA KUTIBU MARADHI MBALIMBALI YAPATIKANA MORO


Fatuma Sengo (41) akimimina dawa inayodaiwa kutibu maradhi mablimbali katika eneo la nyumba yake kwa ajili ya kuwapatia wagonjwa kwa kiasi cha sh 200 katika mtaa wa Kalakana kata ya Kichangani Manispaa ya Morogoro, kushoto ni mtoto Ashinuri Pichuu (4) ambaye ndiye anayehusika kupokea pesa na kutoa dawa kwa mgonjwa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: