BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ABOOD ATOA MABASI MATANO BURE KUOGOA JAHAZI LA WANANCHI KATIKA MGOMO.


MKAZI WA KIHONDA MANISPAA YA MOROGORO AKIPANDA MMOJA YA MABASI MATANO YALIYOTOLEWA NA MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI AZIZ ABOOD ILI WANANCHI WAPANDE BURE KATIKA JITIHADA ZA KUOKOA JAHAZI LA MGOMO WA DALADALA ILIOITISHWA NA UMOJA WA MADEREVA MANISPAA YA MOROGORO KATIKA MAENEO MBALIMBALI.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: