BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MAANDAMANO YA AMANI DHEHEBU LA MABOHORA MOROGORO.


Waumini wa dhehebu la mabohora Manispaa ya Morogoro wakiwa katika maandamano ya kusherehea miaka 101 ya kuzaliwa kwa kiongozi wao mkuu Sultan Elbohora Dkt Syedna Mohammed Burhanddin Saheb (T.US) yaliyoanzia katika msikiti mkuu mtaa wa uliopo Old Dar es Salaam na kutembea hadi Masika ambapo kila mwaka huanzimishwa kwa matembelezi ya amani mkoani hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: