Pikipiki hiyo yenye namba za usajili T988 BDW eneo lake la mbele limezama kabisa uvunguni mwa daladala kiasi cha kuharibika vibaya. |
Kisha mwili wa marehemu Mayunga Clement Lufuta ukatolewa barabarani kusubiri gari maalum kupelekwa hospitali ya rufaa Bugando kuhifadhiwa. |
Kujulikana kwa jina la marehemu huyo kumekuja mara baada ya askari wa usalama barabarani kumpekua na ndipo walipokuta walet yenye vitambulisho mbalimbali kikiwemo kitambulisho cha mpiga kura. |
0 comments:
Post a Comment