Rais Jakaya Kikwete akijandaa kuchota mdogo kwa ajili kuweka katika kabuli la Sadik Juma Kilowoko (SAJUKI) wakati wa mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Kisuti jijini Dar es Salaam mchana wa leo.
Ndugu, jamaa na marafiki wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Sadik Juma Kilowoko (SAJUKI) mara baada ya kuwasili kaktika makaburi ya Kisutu.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na baba mzazi wa marehemu Sajuki
wakati wa mazishi ya msanii huyo leo katika makaburi ya Kisutu jijini
Dar es salaam.
0 comments:
Post a Comment