BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WANNE WAKAMATWA NA BASTOLA, RISASI 41 ARUSHA

Pichani. Kaimu Kamanda wa polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ibrahim Kilongo akionyesha bastola aina ya Browning yenye namba 016080 iliyokuwa inatumiwa na wahalifu waliokamatwa na jeshi hilo mkoani hapa. Mbali na silaha hiyo pia watuhumiwa hao walikamatwa na risasi 41 zinazoweza kutumika katika bastola hiyo. (Picha na Rashid Nchimbi wa jeshi la Polisi Arusha)

 
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: