BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KAMPENI ZA NAFASI YA UDIWANI, CCM YAANZA KUTIMUA VUMBI KATIKA MJI MDOGO WA IFAKARA MORO.


Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Morogoro na Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini, Innocent Kalogeris akimnadi mgombea wa udiwani kata ya Ifakara mjini (hayupo pichani) Kalogeris aliwaeleza wananchi waliohudhuria mkuta
no wa kampeni kumchagua mgombea wa CCM ili aweze kutekeleza ilani ya chama hicho ambapo uchaguzi huo umekuja kutokana na kifo cha aliyekuwa diwani wa kata hiyo kufariki dunia hivi karibuni.
Mgombea wa udiwani kwa chama cha mapinduzi Ndugu Benjamini Masepo aliyevaa kofia ya njano akiwa katika mkutano huo wa kampeni ifakara mjini.
 Wabunge wa morogoro waheshimiwa Sarah Msafiri na Dk Haji Ponda wakiwa katika mkutano huo wa kampeni ifakara mjini
Umati uliojitokeza katika mkutano huo
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: