BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KUTOKA BUNGENI LEO DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Jaqueline Zambi (kushoto)  na  Joyce Zambi  (wapili kulia)  ambao ni Watoto wa Mbunge wa Mbozi Mashariki, Godfrey Zambi (wapili kushoto) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 26,2013. Kulia ni Mbunge wa Buchoza na  Naibu Waziri wa Uchukuzi Dr. Charles Tizeba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Zanzibar Vuai Ali Vuai (katikati) na Mohammed Sif Khatib kabla ya kuanza kwa kikao hicho mjini Dodoma Juni 25, 2013.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: