BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

HIKI NDICHO ANACHOKUJA NA RAY C BAADA YA KIMPYA KIREFU !!!.

rayc-2Ray C.


Rehema Chalamila kwenye stage ya muziki tunamjua kama Ray C.
 
Kitu kikubwa kinachosubiriwa kutoka kwake hivi sasa kazi zake mpya kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.
Kitu cha kusubiria sio hicho tu bali Ray C Foundation ni kitu kingine kitakacho kuja kutoka kwa Ray C.
Ameshare ujio wa foundation hii kwenye ukurasa wake wa instagram na kudokeza kwa maneno “Coming soon stay tuned!!!!!” japokuwa hakuweka wazi kazi ambayo itafanywa
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: