BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

ODEMWINGIE AIBUKA SHUJAA WA NIGERIA NA KUFUFUA MATUMAINI YA AFRIKA, KUILALUA BOSNIA KWA BAO 1-0 KATIKA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA BRAZIL 2014, UJERUMANI ULIMI NJE NJE KWA GHANA, ARGENTINA MAMBO SAFI..IRAN

Brazuka 2014, Kimataifa

article-2664718-1F00AA0900000578-458_634x490
 Mshambuliaji wa Nigeria  Peter Odemwingie (kushoto) akifunga bao lake, huku kipa  Asmir Begovic akiwa hana la kufanya.
 
BAO pekee la mshambuliaji wa Stoke City, Peter  Odemwingie katika mchezo wa kombe la dunia  limeipa ushindi muhimu timu ya taifa ya Nigeria dhidi ya Bosnia.
Kwa matokeo hayo, Bosnia wameshaaga mashindano yao ya mara ya kwanza ya kombe la dunia
Bosnia walipoteza mechi ya ufunguzi kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Argentina 
Back of the net: Odemwingie's low effort goes through the legs of his Stoke team-mate Begovic
 Kitu kambani: Odemwingie  akiwa ametumbukiza mpira nyavuni.
Relief: Odemwingie (left) celebrates his goal with assist-maker Emmanuel Emenike (right)
 Odemwingie (kushoto) akishangilia bao lake baada ya kupokea pasi kutoka kwa  Emmanuel Emenike (kulia).
Centre of attention: Odemwingie is hugged by his team-mates and substitutes after finding the net
 Odemwingie akipongezwa na wachezaji wenzake.
 
Hapa chini ni vikosi vya timu zote na viwango vyao. Alama zilizotolewa ni chini ya 10.

Kikosi cha Nigeria: Enyeama 7, Oshaniwa 6, Yobo 6, Omeruo 6, Ambrose 6, Onazi 7, Mikel 6,  Babatunde 6 (Uzoenyi 75), Musa 7 (Ambeobi 66 5) Odemwingie 8, Emenike 7

Wachezaji wa akiba ambao hawakucheza: Ejide, Uzoenyi, Gabriel, Egwuekwe, Moses, Odunlami, Azeez, Nwofor, Uchebo, Agbim.
Kadi ya njano: Mikel
Mfungaji wa goli: Odemwingie

Kikosi cha Bosnia-Herzegovina: Begovic 7, Mundza 6, Sunjic 6, Spahic 5, Lulic 6 (Salihovic 58 6), Besic 7, Misimovic 6, Medunjanin 6 (Susic 64 5), Hajrovic 6 (Ibisevic 57 6), Pjanic 8, Dzeko 6

Subs not used: Fejzic, Vrsajevic, Bicakcic, Kolasinac, Vranjes, Ibricic, Visca, Hadzic, Avdukic.
Kadi ya njano: Medunjanin
Mwamuzi: Peter O’Leary (New Zealand)
*Viwango vya wachezaji na Joe Bernstein
No way past: Bosnia striker Edin Dzeko (right) is brought down by a tackle from Nigeria's John Obi Mikel
 Hakuna njia: Mshambuliaji wa Bosnia,  Edin Dzeko (kulia) akiangushwa chini na kiungo wa Nigeria  John Obi Mikel
Come back! Bpsnia's Muhamed Besic (right) grabs the foot of Nigeria midfielder Michael Babatunde
 Rudi hapa wewe!: mchezaji wa Bosnia,  Muhamed Besic (kulia) akivuta kiatu cha Michael Babatunde baada ya kuzidiwa maarifa.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=2426#sthash.yWppE4yn.dpuf

Brazuka 2014, Kimataifa

article-2664718-1F00AA0900000578-458_634x490
 Mshambuliaji wa Nigeria  Peter Odemwingie (kushoto) akifunga bao lake, huku kipa  Asmir Begovic akiwa hana la kufanya.
 
BAO pekee la mshambuliaji wa Stoke City, Peter  Odemwingie katika mchezo wa kombe la dunia  limeipa ushindi muhimu timu ya taifa ya Nigeria dhidi ya Bosnia.
Kwa matokeo hayo, Bosnia wameshaaga mashindano yao ya mara ya kwanza ya kombe la dunia
Bosnia walipoteza mechi ya ufunguzi kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Argentina 
Back of the net: Odemwingie's low effort goes through the legs of his Stoke team-mate Begovic
 Kitu kambani: Odemwingie  akiwa ametumbukiza mpira nyavuni.
Relief: Odemwingie (left) celebrates his goal with assist-maker Emmanuel Emenike (right)
 Odemwingie (kushoto) akishangilia bao lake baada ya kupokea pasi kutoka kwa  Emmanuel Emenike (kulia).
Centre of attention: Odemwingie is hugged by his team-mates and substitutes after finding the net
 Odemwingie akipongezwa na wachezaji wenzake.
 
Hapa chini ni vikosi vya timu zote na viwango vyao. Alama zilizotolewa ni chini ya 10.

Kikosi cha Nigeria: Enyeama 7, Oshaniwa 6, Yobo 6, Omeruo 6, Ambrose 6, Onazi 7, Mikel 6,  Babatunde 6 (Uzoenyi 75), Musa 7 (Ambeobi 66 5) Odemwingie 8, Emenike 7

Wachezaji wa akiba ambao hawakucheza: Ejide, Uzoenyi, Gabriel, Egwuekwe, Moses, Odunlami, Azeez, Nwofor, Uchebo, Agbim.
Kadi ya njano: Mikel
Mfungaji wa goli: Odemwingie

Kikosi cha Bosnia-Herzegovina: Begovic 7, Mundza 6, Sunjic 6, Spahic 5, Lulic 6 (Salihovic 58 6), Besic 7, Misimovic 6, Medunjanin 6 (Susic 64 5), Hajrovic 6 (Ibisevic 57 6), Pjanic 8, Dzeko 6

Subs not used: Fejzic, Vrsajevic, Bicakcic, Kolasinac, Vranjes, Ibricic, Visca, Hadzic, Avdukic.
Kadi ya njano: Medunjanin
Mwamuzi: Peter O’Leary (New Zealand)
*Viwango vya wachezaji na Joe Bernstein
No way past: Bosnia striker Edin Dzeko (right) is brought down by a tackle from Nigeria's John Obi Mikel
 Hakuna njia: Mshambuliaji wa Bosnia,  Edin Dzeko (kulia) akiangushwa chini na kiungo wa Nigeria  John Obi Mikel
Come back! Bpsnia's Muhamed Besic (right) grabs the foot of Nigeria midfielder Michael Babatunde
 Rudi hapa wewe!: mchezaji wa Bosnia,  Muhamed Besic (kulia) akivuta kiatu cha Michael Babatunde baada ya kuzidiwa maarifa.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=2426#sthash.yWppE4yn.dpuf

Brazuka 2014, Kimataifa

article-2664718-1F00AA0900000578-458_634x490
 Mshambuliaji wa Nigeria  Peter Odemwingie (kushoto) akifunga bao lake, huku kipa  Asmir Begovic akiwa hana la kufanya.
 
BAO pekee la mshambuliaji wa Stoke City, Peter  Odemwingie katika mchezo wa kombe la dunia  limeipa ushindi muhimu timu ya taifa ya Nigeria dhidi ya Bosnia.
Kwa matokeo hayo, Bosnia wameshaaga mashindano yao ya mara ya kwanza ya kombe la dunia
Bosnia walipoteza mechi ya ufunguzi kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Argentina 
Back of the net: Odemwingie's low effort goes through the legs of his Stoke team-mate Begovic
 Kitu kambani: Odemwingie  akiwa ametumbukiza mpira nyavuni.
Relief: Odemwingie (left) celebrates his goal with assist-maker Emmanuel Emenike (right)
 Odemwingie (kushoto) akishangilia bao lake baada ya kupokea pasi kutoka kwa  Emmanuel Emenike (kulia).
Centre of attention: Odemwingie is hugged by his team-mates and substitutes after finding the net
 Odemwingie akipongezwa na wachezaji wenzake.
 
Hapa chini ni vikosi vya timu zote na viwango vyao. Alama zilizotolewa ni chini ya 10.

Kikosi cha Nigeria: Enyeama 7, Oshaniwa 6, Yobo 6, Omeruo 6, Ambrose 6, Onazi 7, Mikel 6,  Babatunde 6 (Uzoenyi 75), Musa 7 (Ambeobi 66 5) Odemwingie 8, Emenike 7

Wachezaji wa akiba ambao hawakucheza: Ejide, Uzoenyi, Gabriel, Egwuekwe, Moses, Odunlami, Azeez, Nwofor, Uchebo, Agbim.
Kadi ya njano: Mikel
Mfungaji wa goli: Odemwingie

Kikosi cha Bosnia-Herzegovina: Begovic 7, Mundza 6, Sunjic 6, Spahic 5, Lulic 6 (Salihovic 58 6), Besic 7, Misimovic 6, Medunjanin 6 (Susic 64 5), Hajrovic 6 (Ibisevic 57 6), Pjanic 8, Dzeko 6

Subs not used: Fejzic, Vrsajevic, Bicakcic, Kolasinac, Vranjes, Ibricic, Visca, Hadzic, Avdukic.
Kadi ya njano: Medunjanin
Mwamuzi: Peter O’Leary (New Zealand)
*Viwango vya wachezaji na Joe Bernstein
No way past: Bosnia striker Edin Dzeko (right) is brought down by a tackle from Nigeria's John Obi Mikel
 Hakuna njia: Mshambuliaji wa Bosnia,  Edin Dzeko (kulia) akiangushwa chini na kiungo wa Nigeria  John Obi Mikel
Come back! Bpsnia's Muhamed Besic (right) grabs the foot of Nigeria midfielder Michael Babatunde
 Rudi hapa wewe!: mchezaji wa Bosnia,  Muhamed Besic (kulia) akivuta kiatu cha Michael Babatunde baada ya kuzidiwa maarifa.
- See more at: http://shaffihdauda.com/?p=2426#sthash.yWppE4yn.dpufVV

Peter Odemwingie akiwa amekifunga bao golini.


Mshambuliaji wa Nigeria Peter Odemwingie (kushoto) akifunga bao lake, huku kipa Asmir Begovic akiwa hana la kufanya.

BAO pekee la mshambuliaji wa Stoke City, Peter Odemwingie katika mchezo wa kombe la dunia limeipa ushindi muhimu timu ya taifa ya Nigeria dhidi ya Bosnia. 


Kwa matokeo hayo, Bosnia wameshaaga mashindano yao ya mara ya kwanza ya kombe la dunia.


Bosnia walipoteza mechi ya ufunguzi kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Argentina

Odemwingie (kushoto) akishangilia bao lake baada ya kupokea pasi kutoka kwa Emmanuel Emenike (kulia).

Odemwingie akipongezwa na wachezaji wenzake.

Hapa chini ni vikosi vya timu zote na viwango vyao. Alama zilizotolewa ni chini ya 10.


Kikosi cha Nigeria: Enyeama 7, Oshaniwa 6, Yobo 6, Omeruo 6, Ambrose 6, Onazi 7, Mikel 6, Babatunde 6 (Uzoenyi 75), Musa 7 (Ambeobi 66 5) Odemwingie 8, Emenike 7
Wachezaji wa akiba ambao hawakucheza: Ejide, Uzoenyi, Gabriel, Egwuekwe, Moses, Odunlami, Azeez, Nwofor, Uchebo, Agbim.
Kadi ya njano: Mikel
Mfungaji wa goli: Odemwingie

Kikosi cha Bosnia-Herzegovina: Begovic 7, Mundza 6, Sunjic 6, Spahic 5, Lulic 6 (Salihovic 58 6), Besic 7, Misimovic 6, Medunjanin 6 (Susic 64 5), Hajrovic 6 (Ibisevic 57 6), Pjanic 8, Dzeko 6

Subs not used: Fejzic, Vrsajevic, Bicakcic, Kolasinac, Vranjes, Ibricic, Visca, Hadzic, Avdukic.
Kadi ya njano: Medunjanin
Mwamuzi: Peter O'Leary (New Zealand)

Viwango vya wachezaji na Joe Bernstein

Hakuna njia: Mshambuliaji wa Bosnia, Edin Dzeko (kulia) akiangushwa chini na kiungo wa Nigeria John Obi Mikel

Rudi hapa wewe!: mchezaji wa Bosnia, Muhamed Besic (kulia) akivuta kiatu cha Michael Babatunde baada ya kuzidiwa maarifa.

20140621-213255-77575842.jpg
Messi akishangilia bao baada ya kuifungia Argentina dhidi ya Iran.

ARGENTINA 1-0 IRAN.
Baada ya kupata sare dhidi ya Nigeria katika mchezo wao wa kwanza wa kombe la dunia, timu ya taifa ya Iran leo ilikutana na Argentina.


Matokeo ya mchezo huo ni ushindi wa 1-0 kwa Argentina, shukrani kwa goli la dakika ya tisini na moja la aliyekuwa mchezaji bora wa dunia kwa mara nne mfululizo Lionel messi.

Iran walipoteza nafasi kadhaa za kufunga huku wakicheza vizuri dhidi ya Argentina, iliyojaa mastaa wakubwa wa soka duniani.

Kwa matokeo hayo Argentina inakata tiketi ya kuingia hatua ya mtoano ya michuano.


UJERUMANI 2-2 GHANA.
Wawakilishi wa soka kutoka Africa kwenye michuano ya Kombe la dunia Ghana leo wametupa karata nyingine kwenye mchezo dhidi ya Ujerumani.

Mchezo ulioisha muda mfupi, uliopita umeisha kwa matokeo ya sare ya 2-2.

Ujerumani walianza kuliona lango la katika dakika ya 51 kupitia mchezaji Mario Gotze, lakini dakika 3 baadae Ghana wakasawazisha kupitia Andrew Ayew.

Dakika ya 63 Asamoah Gyan akaifungia bao la pili, na baadae kidogo akitokea benchi mshambuliaji Mislave Klose akaisawazishia Ujerumani.

Kutokana na kufunga bao hilo, Klose sasa amefikia rekodi ya Ronaldo de Lima kufunga jumla ya magoli 15 kwenye michuano ya kombe la dunia.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: