
Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, ichinge Mchopa akionesha sehemu ya msaada wa mifuko ya sarufi 900 iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye ni mbunge wa Jimbo hilo, Mathias Chikawe (hayupo pichani) kwa ajili ya ujenzi wa Maabara ya Shule za Sekondari katika wilaya hiyo ya Nachingwea. Waziri Chikawe.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe (wa pili kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Pololet Mgema msaada wa mifuko 900 ya sruji kwa ajili ya ujenzi wa Maabara za Shule za Sekondari katika wilaya hiyo, Tukio hilo la makabidhiano lilifanyika mjini Nachingwea hana. Picha na Felix Mwagara.
0 comments:
Post a Comment