BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

DKT JOHN MAGUFULI ALIVYOTINGISHA NYUMBANI KWA WAZIRI MKUU MKUTANO WA KAMPENI

Mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt John Magufuli akionekana katika  matukio tofauti wakati wa mkutano wake wa mampeni katika mkoa wa Katavi huku akilakiwa na kuta bulishwa na Waziri mkuu Mizengo Pinda katika mkutano wa kampeni za urais za urais, ubunge na udiwani baada ya tume ya uchaguzi kutoa ruksa ya kuanza kwa kampeni katika uchaguzi mkuu oktoba 25 mwaka huu.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: