BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

LOWASSA NAMNA ALIVYOPOKELEWA MJI WA KYELA MKOANI MBEYA.

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa akiongozana na viongozi wakuu wa chama hicho wakati akiwasili kwenye uwanja wa Takoshiti, mjini Kyela, Mbeya kwa ajili ya kuhutubia wananchi kwenye mkutano wake wa kampeni jana. (Picha na Othman Michuzi).

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: