BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MABAKI YA HELIKOPTA ILIYOKATISHA MAISHA YA DEO FILIKUNJOMB MBUGA YA SELOUS MORO

Mabaki ya Chopa baada ya kudondoka kisha kuwaka moto katika hifadhi ya wanyama ya selous upande wa Morogoro na kukatisha maisha ya aliyekuwa mgombea ubunge wa CCM jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe sambamba na rubani, William Silaa na makada wawili wa CCM jana jioni.

Tukio lilitokea majira ya saa 11 jioni ndani ya hifadhi hiyo wakati wakitoka Dar es Salaam kuelekea Ludewa.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: