BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MTANZANIA AFICHUA SIRI YA VIFO VYA MAHUJAJI VILIVYOTOKANA NA MKANYAGANO KATIKA MJI WA MINA MAKKA SAUDI ARABIA.

VIFO vya Mahujaji zaidi ya 700 vilivyotokea eneo la Mina, Makkah, Septemba 24, mwaka huu, nchini Saudi Arabia, vimechangiwa na mabadiliko ya utaratibu Hijja. 

Utaratibu huo ni ule wa kwenda kumtupia mawe shetani ambapo awali baada ya kurusha jiwe, Mahujaji walipita njia nyingine si ile waliyoitumia wakati wa kwenda, lakini mwaka huu wamerudi kwa njia hiyo hiyo. 


Shahidi wa tukio hilo ambaye ni Hujaji kutoka Tanzania, Abdumaliki Kawaya, aliyasema hayo jana na kuongeza kuwa, hali hiyo ilisababisha msongamano wa watu ndipo wengine wakakosa hewa, kupoteza fahamu na wengine kufariki dunia.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: