BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

TASWIRA YA VIJANA WALIOMBAKA MSICHANA GESTI NA KUMWINGILIA KINYUME NA MAUMBILE KATIKA PICHA MOROGORO

 
Washtakiwa Vinara Idd Adamu (32) mkazi wa Makambako kulia na Zuberi Thabiti (30) mkazi wa Mbarali mkoani Mbeya kushoto wakiwa kwenye gari la polisi tayari kurudishwa mahabusu ya magereza mkoa wa Morogoro baada ya kusomewa mashtaka yanayowakabiri na wenzano wanne mahakama ya hakimu mkazi Morogoro Jana. Picha zote na MTANDA BLOG

Hapa baada ya kusikiliza mashtaka wanayotuhumiwa nayo na hakimu mkazi Morogoro ambapo mashtaka hayo yaliwahusisha washtakiwa vinara wa kubaka kisha kumwingilia kinyumbe na maumbile msichana na kusambaza katika mitandao ya kijamii. 
 Sura za wahusika wakuu zikionekana bila bughaza, kushoto, Zuberi Thabiti (30) kulia ni Idd Adamu (32) anayedaiwa aliyekuwa akichukua picha za video wakati mwenzake akifanya mapenzi na msichana bila ridhaa yake.
Washtakia hao wakiwa na wenzao ambao wanashtakiwa kwa kusambaza picha chafu za ngono za video.
Askari wakilinda eneo ambalo watuhumiwa wakisikiliza kesi hiyo.
Baadhi ya Wananchi na waandishi wa wakaiwa eneo la mahakamu wakati wa kufikishwa mahakamni watuhumiwa wa kubaka na kulawiti pamoja na wale waliokuwa wakisambaza picha chafu


 Mmoja wa jamaa wa watuhumiwa akiangua kilio wakati gari lililowabeba likiondoka mahakamani na kuwapeleka watuhumiwa katika mahabusu ya magereza ya mkoa wa Morogoro baada ya dhamana yao kukataliwa kwa kile kilichoelezwa na mawakili wa serikali kuwa wanaweza kuruga ushahidi.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: