Wilson Kabwe, aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar Es Salaam na baadaye kusimamishwa kazi mwanzoni mwa mwezi Mei, na rais John Magufuli amefariki dunia.
Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu kwenye daraja la Kigamboni (sasa hivi Nyerere Bridge) alikuwa shocked na tangu awali inadaiwa alikuwa kalazwa akipatiwa matibabu.
Meya wa Jiji la Dar Isaya Mwita athibitisha.
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
Home / kitaifa /
slider
/ WILSON KABWE AFARIKI DUNIA, NI YULE ALIYETUMBULIWA JIPU NA RAIS MAGUFULI UZINDUZI WA DARAJA LA NYERERE
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment