BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

WILSON KABWE AFARIKI DUNIA, NI YULE ALIYETUMBULIWA JIPU NA RAIS MAGUFULI UZINDUZI WA DARAJA LA NYERERE

Wilson Kabwe, aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar Es Salaam na baadaye kusimamishwa kazi mwanzoni mwa mwezi Mei, na rais John Magufuli amefariki dunia.

Aidha, inasemekana tangu siku ile wamtumbue jipu kwenye daraja la Kigamboni (sasa hivi Nyerere Bridge) alikuwa shocked na tangu awali inadaiwa alikuwa kalazwa akipatiwa matibabu.


Meya wa Jiji la Dar Isaya Mwita athibitisha.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: