BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KERO YA WANAUME WANAOKUNYWA POMBE NA KUSHINDWA KUWAPA UJAUZITO WANAMKE YAIBUKA

Picha ya mwanaume akionekana mwenye kufikiri jambo.

Huko Kenya wanawake wa jimbo la Ndeiya wameandamana kwa kukosa wanaume wa kuwapa ujauzito. 

Hali hiyo imesababishwa na pombe wanazokunywa ambazo hupunguza nguvu za kiume.

Mmoja wa wanawake hao alisikika akisema iwapo tabia hiyo ya ulevi itaendelea itawalazimu kutoka nje ya ndoa zao.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: