DODOMA KUPAKA RANGI KWENYE BATI ILI KUTOFAUTISHA NYUMBA ZA KWENYE MITAA MINGINE mtanda blog 10:33 PM kitaifa , slider Edit Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma, Godwin Kunambi amesema itawekwa sheria ndogo katika Manispaa hiyo, inayolenga kila mtaa kutambuliwa kwa rangi yake ya bati ili kuufanya mji huo kuvutia/StarTV Share on Facebook Share on Twitter Share on Google Plus About mtanda blog Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari RELATED POSTS
0 comments:
Post a Comment