BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

NAKUVUSHA


Askari wa usalama barabara mkoa wa Morogoro akiwa amemshika mkono kikongwe wakati akimvusha katika barabara eneo la daraja la mto Morogoro hali ambayo inatokona na ongezeka la magari na kusababisha adha kwa makundi ya wazee na wanafunzi kupata kero wakati wa kuvuka barabara kunatokana na uwingi wa magari mjini hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: