BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KAZI NI KAZI TU ILIMRADI MKONO UENDE KINYWANI, MWANAMKE KUJISHUGHULISHA.

AKINAMAMA WAKAZI WA KIJIJI CHA MASEYU WILAYA YA MOROGORO VIJIJINI WAKIWA WAMEBEBA LUMBESA LA GUNIA LA MKAA WAKIELEKEA KWENYE LORI HALIPO PICHANI MARA BAADA YA MTEJA WAO KUNUNUA KATIKA KIJIJI HICHO KILICHOPO KANDO YA BARABARA KUU DAR ES SALAAM-MOROGORO AMBAPO GUNIA MOJA HUUZWA KIASI CHA 12,000 HADI SH 15,000 KULINGANA NA UKUBWA WAKE.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: