BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

MABOKSI BIASHARA KATIKA SOKO KUU LA MKOA WA MOROGORO.

Mkazi wa Manispaa ya Morogoro akikokta baiskeli iliyosheheni maboksi tupu mara baada ya kuyakusanya kutoka kwenye maduka kisha kwenda kuyauza katika soko kuu la mkoa huo kwa ajili ya kuwauzia wateja mbalimbali wanaotembelea soko hilo kujipatia mahitaji mkoani hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: