BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

KIPAJI CHA SALAKASI

Msanii wa kucheza salakasi katika Manispaa ya Morogoro, Dymond Senyagwa akionyesha uhodari wake wa kuvikunja viungo vyake wakati wa ufunguzi wa tamasha la sanaa la watoto la paukwa 2012 linaloshirikisha wanafunzi wa shule za msingi katika Manispaa hiyo ya Morogoro kwenye uwanja wa jamhuri mkoani hapa.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: