BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

SIJUI KAMA TUTAFIKA SALAMA !!!!!!!!!!!!!!!.

Wakulima zao la mpunga wakiwa juu ya magunia yenye mpunga huku wakitumia usafiri wa trekta kusafIrisha mizigo na mali nyingine baada ya kuvuna katika mashamba ya Dakawa huku trekta hilo likionekana kuwa sio salama kwa kuwepo barabarani kutokana hali hiyo kama linavyooneka pichani katika magurudumu yake  yakiyumba katika barabara kuu ya Dodoma-Morogoro mkoani hapa.

Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: