MAANDAMANO ya kupinga filamu ya Kimarekani na vijikatuni vya
Kifaransa vinavyomvunjia heshima Mtume Muhammad (saw) yameendelea
kufanyika katika nchi mbalimbali duniani.
Yalifanyika baada ya sala za Ijumaa yameshuhudiwa
nje ya balozi za Ufaransa na Marekani katika miji mbali mbali ya Misri,
Lebanon, Pakistan, Yemen, Libya, Tunisia, Indonesia, Bangladesh, Saudi
Arabia ikiwemo na Tanzania
Miji ya Iran pia imeshuhudia maandamano makubwa ya kulaani
vitendo vya kumvujia heshima Mtume SAW.
Waandamanaji walipiga nara za
"mauti kwa Marekani", "mauti kwa Israel" "mauti kwa Ufaransa" na
"mauati kwa Uingereza".
Aidha katika maandamano hayo kote duniani, Waislamu wametangaza
mahaba yao kwa Mtume wa rehma Mohammad SAW na kusema wako tayari
kujitolea mhanga kwa ajili ya kumtetea
MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO
Home / Uncategories / SAKALA LA FILAMU YA KIMAREKANI NA VIJIKATUNI VYA UFARANSA VYAIKASIRISHA WAISLAM DUNIANI, WAANDAMANA KILA KONA YA DUNIA KUZILAANI NCHINI HIZO.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 comments:
Post a Comment