BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

PENGO KATI YA MATAJIRI NA MASIKINI LAONGEZEKA.

RIPOTI mpya iliyotolewa na shirika la Save the Children linaonya kuwa pengo kati ya watu maskini na matajiri imekuwa kubwa sana katika miaka yake 20 tangu kuanza.
 
Shirika hilo linasema kuwa pengo hilo limekuwa kubwa na linawaathiri zaidi watoto.

Kwa mujibu wa Save the Children, linasema kuwa hali ya vifo vya watoto wachanga imepungua ingawa katika sehemu zingine bado kuna changamoto.

Ripoti yenyewe ambayo inakuja kabla ya mkutano mkuu wa umoaj wa mamataifa kuhusu umaskini, inasema kuwa huenda hatua za hali ya kuimarika zikaathirika ikiwa hali hiyo haitashughulikiwa vyema.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: