BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BAYERN MUNICH YAIFUMUA BARCELONA BAO 4-0 NUSU FAINALI YA UEFA CHAMPIONS KATIKA UWANJA WA ARENA NCHINI UJERUMANI.

Clash of the titans: Barcelona's Lionel Messi and Bayern Munich's Franck Ribery fight for the ball
Mchezaji matata wa Barcelona Lionel Messi na Franck Ribery wakichuana kugombea mpira usiku huu. 
KLABU ya Bayern wakicheza vyema katika nusu fainali ya mchezo wa kwanza wa UEFA CHAMPIONS katika uwanja wao ndani ya Allianz Arena Mjini Munich Ujerumani jana Jumanne Aprili 23 kati yao Bayern Munich na Barcelona na kuweza kuitandika barcelona bao 4-0.

Kipindi cha pili kilipoanza Bayern kwa kufuata kanuni walizopewa na kocha wao za kupiga mpira wa chini wakafanikiwa kupata bao la pili kupitia mchezaji wao Mario Gomez dakika ya 49 na kufanya 2-0 dhidi ya Barcelona na pia Bayern kukosa mabao kadhaa ya wazi.
Aiming low: Bayern Munich's Arjen Robben sees a shot saved by Barcelona's Victor ValdesMchezaji wa Bayern Munich Arjen Robben akimwachia shuti kali kipa wa Barca, Victor Valdes.
Staying calm: Bayern Munich boss Jupp Heynckes watches on from the touchline
Kocha wa Bayern Munich  Jupp Heynckes akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wakisakata kandanda uwanjani uwanjani na kuisambaratisha Barcerona kwa bao 4-0.
Breakthrough: Thomas Muller bundled Bayern Munich ahead
Mchezaji tegemeo wa Bayern MunichThomas Muller akiipatia bao timu yake dakika ya 25.
Breakthrough: Thomas Muller bundled Bayern Munich aheadMchezaji Thomas Muller wa Bayern akishangilia baada ya kuipatia bao na kuongoza kwa bao 1-0 dhidi ya Barcelona kwa kipindi cha kwanza. 
Reaching out: Bayern Munich's David Alaba attempts to block Pedro Rodriguez's cross
Mchezaji wa Bayern Munich David Alaba akikabwa na Pedro Rodriguez wa Barcelona.
Double trouble: Mario Gomez (right) scored Bayern Munich's second goal
Mario Gomez (kulia) akiwafungia  Bayern Munich bao la pili na kufanya 2-0 dhidi ya Barcelona.

Double trouble: Mario Gomez (right) scored Bayern Munich's second goal
Dakika ya 49 anaitwa Mario Gomez akishangilia baada ya kuichinja Barca, Bao ta tatu lilifungwa na Robben dakika ya 73 na la nne lilifungwa na Thomas Muller dakika ya 82.




VIKOSI:
Bayern Munich: Neuer, Lahm, Boateng, Dante, Alaba, Javi Martinez, Schweinsteiger, Robben, Muller (Pizarro 83), Ribery (Shaqiri 89), Gomez (Luiz Gustavo 71).
Subs: Starke, Van Buyten, Rafinha, Tymoschuk.
Goal: Muller 25, 82, Gomez 49, Robben 73.

Barcelona: Valdes, Dani Alves, Pique, Bartra, Jordi Alba, Xavi, Busquets, Iniesta, Sanchez, Messi, Pedro (Villa 83).
Subs: Pinto, Fabregas, Villa, Thiago, Montoya, Abidal, Song.
Referee: Viktor Kassai (Hungary)


RATIBA/MATOKEO
NUSU FAINALI 

Jumanne Aprili 23 
Bayern Munich 4 v Barcelona 0

Jumatano Aprili 24.
Borussia Dortmund v Real Madrid

MARUDIANO.
Jumanne Aprili 30 

Real Madrid v Borussia Dortmund
Jumatano Mei 1 
Barcelona v Bayern Munich
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: