BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

JARIBIO LA KUMPINDUA RAIS LAGONGA MWAMBA VISIWANI COMORO.


epa03164283 (L-R) Comoros President Ikililou Dhoinine, Lebanese President Michel Suleiman, Palestinian President Mahmoud Abbas, Sudanese President Omar al-Bashir, Iraqi President Jalal Talabani, Djibouti's President Ismail Omar Guelleh, Kuwait's emir Sheikh Sabah al-Ahmad al-Sabah, Somali President Sheik Sharif Sheik Ahmed, and Chairman of Libyan National Transitional Council Mustafa Abdul Jalil pose to photographers before the opening session of the Arab Summit in Baghdad, Iraq, 29 March 2012. The Arab League summit, the first in two years, was opened in Baghdad amid high security, with the problems in Syria topping its agenda. At least 10 Arab heads of state and government were expected to attend the event, the first pan-Arab gathering to be held in Iraq since May 1990. EPA/AHMED JALIL +++(c) dpa - Bildfunk+++ WATU kadhaa wamekamatwa katika visiwa vya Comoro kwa kuandaa mpango wa kutaka kuipindua serikali ya Rais Ikililou Dhoinine (Dhanin). 

Miongoni mwa waliokamatwa ni mtoto wa kiume wa rais wa zamani Ahmed Abdalla, ambaye aliuawa 1989. 

Juhudi za kuwapa maafisa wa serikali ya Comoro kuzungumzia kuhusu njama hiyo hazikufanikiwa, hata hivyo kiongozi wa upinzani nchini humo Houmed Msaidie ameilaumu serikali kwa kushindwa hadi sasa kutoa maelezo juu ya tukio hilo, ikiwa siku tatu baada ya watu hao kukamatwa. 

Daniel Gakuba amezungumza na bwana huyo, kusikiliza mahojiano hayo bonyeza alama ya kusikiliza masikioni hapo chini.
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: