BannerFans.com

MBUNGE SUZAN KIWANGA AKWAMISHA KESI MAHAKAMANI MOROGORO

BREAKING NEWS: MLINZI WA BAR YA DARAJANI STOO OVER MORO AUAWAWA WAKATI AKIWA LINDONI.

Mlinzi wa Bar ya Darajani Stop Over Manispaa ya Morogoro aliyetambuliwa kwa jina la Michael Athman (80) ameuawawa na watu wanadhani kuwa ni waharifu wakati wakiwa katika harakati za kuiba mali katika ba
r hiyo. 
PICHA JUMAMTANDA.BLOG.

Michael Athman ameonekana sehemu ya kichwa ikiwa imetakaa damu, majeraha na kuashiria kupigwa na kitu chenye nchi kali baada ya kuvamiwa na watu hao usiku wa kumkia leo.

Sehemu ya kichwa ndiyo iliyoumia zaidi na kusababisha kuvuja damu nyingi na kupekea kifo hicho.

Jeshi la polisi mkoani hapa ilifika eneo la tukio na kuchukua mwili wa marehemu kwenda kuifadhi katika chumba cha kuhifadhia maiti hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro huku ikiendelea na uchunguzi wa tukio hilo, 

kwa habari zaidi la tukio hilo endelea kutembea blog hii kuweza kupata kilichojiri.......
 
Share on Google Plus

About mtanda blog

Blogger maarufu nchini Tanzania na mwanahabari mkongwe kwenye Tasnia ya habari
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments: